iqna

IQNA

abd al razzaq
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /16
TEHRAN (IQNA) – Mwanachuoni na mtafiti wa Kimisri Abd al-Razzaq Nawfal alisoma sayansi ya kilimo lakini akavutiwa na fani ya masomo ya Kiislamu na hivyo akaamua kusoma taaluma ya miujiza ya kisayansi ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476372    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/08